Saturday, November 27, 2010

HABARI ZENU WAJUMBE!!!!!!!

WADAU KAMA NAONA VILE MPANGO WETU UNAENDA KUFANIKIWA TUZIDI KUUOMBEA AU VP!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Friday, October 29, 2010

NAAM WAJUMBE!!!!!

habari zenu waungwana, ni matumaini yangu mpo gado kabisa na ikizingatiwa tarehe 31 tunaenda kufanya mabadiliko makubwa ya nchi yetu, naomba nitumie fursa hii kuwahimiza ndugu wajumbe kufanya kweli pasipo kuwa na hofu yoyote kuhakikisha kwamba kura yako moja inamchagua RAIS wa ukweli ambaye atajali maslahi ya nchi, wanachi na ya vijana pia au vp! so, stand up and go to vote!!!!

pia ndugu wajumbe harakati za kundi letu bado zinaendelea kama tulivyokubaliana kufanya biashara ya mavazi basi ni wajibu wetu kufanya utatifi wa kisayansi ili kwamba hili lengo letu litimie vizuri, unaombwa katika kikao kijacho uje na data za uhakika kuhusu hiyo business ili ikiwezekana mchakato uanze maramoja mara baada ya kumchagua RAIS makini.

kila la heri wajumbe katika uchaguzi huu nawaombea kwa Mungu awaongoze vema katika mpango mzima wa kuchagua viongozi wetu.

Friday, September 3, 2010

HABARI ZENU WAUNGWANA...



kama Mungu apendavyo ni imani yangu kwamba hamjambo kabisa mnaendelea vizuri na ujenzi wa taifa na wa maendeleo yetu pia au vp!

sa wandugu mnamo tarehe 05 septemba 2010 sehemu ikiwa lunch time tutakuwa na kikao kama kawaida.
tunaombwa tufike kwa wakati muda wa sita na nusu ili tuweze kuanza kwa wakati huku agenda zikiamuliwa vizuri.

nawatakia wikiend njema, lolote mkono wako utakalolifanya, lifanye kwa nguvu zako zote au vp!!!

Monday, August 16, 2010

NDIO FABOA.....

ndio wajumbe ni vp, niaje... jana tulikuwa na kikao kama kawaida na wanachama walifika kwa wakati na kikao kilienda vizuri huku ule mwongozo wetu ukihaririwa kwa umakini mkubwa kabla ya kuanza kutuongoza.

Tulifanikiwa kuuhariri vizuri na tukakubaliana kwamba kikao kijacho tufanye tarehe 5/09/2010 muda wa saa sita na nusu mchana sehemu ikiwa ni lunchtim.

Monday, August 9, 2010

JAMANI HIZI VUVUZELA ZILIANZIA HUKU KA HUJUI.!.




































WADAU WA FABOA KATIKA POZI

Wajumbe wakiwa kwenye kikao wako makini kushinda maelezo.





















kutoka kushoto--Luckford, Goodluck, John, Stewart, Sivanus, Moses na Kisekemi.







kutoka kushoto--Luckford, Rumisha, John, Stewart, Sivanus, Moses na Kisekemi.










YATOKANAYO NA KIKAO:

kumekucha wajumbe.. ni siku nyingine tena aliyoifanya Mungu imempendeza tuione baada ya wikiend nzuri iliyokuwa na kila aina ya bashasha na Baraka tele makofi mengi-mengi basi!!!!!

ndugu wajumbe, jana tullifanya kikao kama tulivyokuwa tumeazimia na agenda kubwa na kuu ilikuwa ni kujadili na kutengeneza katiba ambayo itatuongoza katika kuendesha kikundi chetu kwa weledi mkubwa.

WAJUMBE WALIOHUDHURIA KIKAO:
MOSES MSEMO
STEWART CHILOLO
RUMISHA META
KISEKEMI EPHRAIM
SILVANUS CHANGWA
JOHN NKUNGU
GOODLUCK MURO
LUCKFORD DIDAS


kikao kilienda vizuri kila mjumbe akionyesha utulivu katika kuhakikisha kwamba malengo ya kuwa na katiba bora yanafikiwa ipasavyo.

tulifanikiwa kuitengeneza katiba huku Katibu akipewa jukumu la kwenda kuichapa na kuja nakala za kutosha za wajumbe wote ili tuifanyie uhakiki wa mwisho kabla ya kuipa  katiba mamlaka ili ituongoze. 

KIKAO KIJACHO NI TAREHE 15/08.2010;

Nawasilisha.



Friday, August 6, 2010

KIKAO WAJUMBE....

Naaam wajumbe, kama mnavyojua terehe 8/8/2010 sikuya wa wakulima jumapili tutakuwa na kikao kingine muhimu sana na kama mnavyojua agenda kubwa itakuwa ni kujadili suala zima la kuwa na katiba ya FABOA.

Mnaombwa sana kuhudhuria bila kukosa kwani kuwepo  kwako ndio mafanikio na maendeleo ya kikundi chetu.

Nawatakia siku njema na wikiend njema kila ufanyalo likaende kuwa kama moyo wako upendavyo.!

NAOMBA KUWASILISHA...

Thursday, August 5, 2010

...........The World is a Beautiful Place............





The world is a beautiful placeto be born into
if you don't mind happiness
not always being
so very much fun
if you don't mind a touch of hell
now and then
just when everything is fine
because even in heaven
they don't sing
all the time
The world is a beautiful place
to be born into
if you don't mind some people dying
all the time
or maybe only starving
some of the time
which isn't half bad
if it isn't you
Oh the world is a beautiful place
to be born into
if you don't much mind
a few dead minds
in the higher places
or a bomb or two
now and then
in your up
turned faces
or such other improprieties
as our Name Brand society
is prey towith its men of distinction
and its men of extinction
and its priest
sand other patrol
men
and its various segregation
sand congressional investigation
sand other constipations
that our fool flesh
is heir toYes the world is the best place of all
for a lot of such things as making the fun
sceneand making the love scene
and making the sad scene
and singing low songs and having inspiration
sand walking around
looking at everything
and smelling flower
sand goosing statue
sand even thinking
and kissing people and
making babies and wearing pant
sand waving hats and
dancing
and going swimming in river
son picnics
in the middle of the summer
and just generally'living it up'
Yes
but then right in the middle
of it comes the smiling
mortician



Tuesday, August 3, 2010

KIKAO CHA TAREHE 08 AGOSTI...

NDIO WAJUMBE SINA PASI NA SHAKA WOTE NI WAZIMA KABISA IKIZINGIZATIWA KWAMBA ALIYE JUU ANATULINDA KILA SIKU PASIPO KUSINZIA WALA KULALA.

SASA WAJUMBE KIKAO KIJACHO NI TAREHE 08 AGOSTI 2010 SAA SITA NA NUSU MCHANA, SIKU YA JUMAPILI, MNAOMBWA SANA MSIKOSE ILI TUJADILI SUALA LA KATIBA PAMOJA KWA UMOJA.
NAWATAKIA SIKU NJEMA WAJUMBE!

Wednesday, July 28, 2010

Monday, July 26, 2010

YAH: KIKAO

ASALAM NDUGU WAJUMBE...

jana tare25 kikao chetu hakikuweza kufanyika kutokana na kwamba wajumbe wengi walishindwa kufika kwa sababu mbalimbali.

WALIOHUDHURIA:
MOSES MSEMO
STEWART CHILOLO
RUMISHA META
JOHN NKUNGU
BRIAN MUZE
GOODLUCK MURO

tuliona vema kikao kijacho kiwe tarehe 8/08/2010 ili tuwepo pamoja katika kujadili suala zima la katiba.

vilevile tulipata barua ya FABOA kutoka kanisa la mavurunza iliyowasilishwa na mjumbe Rumisha Meta ambayo inahusu mwaliko wa sikukuu ya vijana ambayo itafanyika tarehe 1/08/2010 lengo la sikukuu likiwa ni kuchangia kwaya ya vijana waweze kurekodi album.

hivyo basi tulikubaliana kwamba kila mjumbe achange tsh5000 ili kusaidia kazi ya Mungu isonge mbele, na mchango huo uwasilishwe katika kikao kijacho cha tarehe 8/8/2010.

AMANI KWENU WAUNGWANA....

Friday, July 23, 2010

IT'S YOUR CAKE.. SO HAVE IT STEWART!!


Wajumbe jumapili kikao tusikose muda saa saba kamili mchana!!!


HAPPY BIRTHDAY STEWART CHILOLO

kwa niaba ya wanafamilia wa Familia Bora Association tunapenda kukupongeza kwa kuongeza mwaka mwingine katika maisha yako, tunaamini kabisa kwamba Mungu anakupenda na  anapenda uendelelea kumtumikia katika maisha haya so tunakutakia maisha mema yenye Baraka tele kila ulifanyalo likaende kufanikiwa na Mungu akupe haja ya moyo kwa kila utakalokuwa unamwomba.


HAPPY BIRTHBDAY KATIBU..

Tuesday, July 20, 2010

TOP TEN SUCCESS TIPS

1. PRAY BEFORE GOD

2. YOUR SUCCESS TO PROMISE YOURSELF

3. IMPROVE YOUR DECISION MAKING

4. LISTEN

5. BE POSITIVE

6. BE VOLUNTEER

7. BE CREATIVE

8. DO IMPORTANT THING FIRST

9. ACCEPT YOURSELF AS YOU ARE

10. BE SOCIAL


MUNGU IBARIKI TANZANIA.
MUNGU IBARIKI FAMILIA BORA

Amani kwenu Wajumbe!

naam wajumbe sina pasi na shaka ni wazima wa afya tele na mnaendelea vizuri katika kufanikisha maisha bora yanafikiwa kwa kila hali au vp!

nafuraha tele ndugu wajumbe kuwajulisha kwamba tumefanikiwa kufungua blog yetu ambayo itatusaidia katika suala zima la teknolojia habari na mawasiliano yaani (TEKNOHAMA).

haya wajumbe tuseme nini basi Mungu akiwa upande wetu ni nani aliye upande wetu twende pamoja bila kuchoka mbele daima nyuma mwiko..!

kikao kijacho tarehe 25/07/2010 so tusikose ndugu wajumbe.