Monday, August 16, 2010

NDIO FABOA.....

ndio wajumbe ni vp, niaje... jana tulikuwa na kikao kama kawaida na wanachama walifika kwa wakati na kikao kilienda vizuri huku ule mwongozo wetu ukihaririwa kwa umakini mkubwa kabla ya kuanza kutuongoza.

Tulifanikiwa kuuhariri vizuri na tukakubaliana kwamba kikao kijacho tufanye tarehe 5/09/2010 muda wa saa sita na nusu mchana sehemu ikiwa ni lunchtim.

No comments: