Wednesday, June 15, 2011

AMKA FABOA!

habari zetu waungwana, bila shaka mu  wazima wa afya tele au sio..
baada ya kukaa kipindi kirefu bila ya kufanya kikao chochote, sasa imefikia muda wa kuamka tena na kujua hatma ya kundi letu,  hivyo basi tukutane JUMAPILI hii tarehe 19 juni palepale kunch time tutajidiliane nini cha kufanya kuhakikisha kwamba malengo tuliyojiwekea tunayafanikisha kwa mafanikio makubwa.!

nawatakia  maisha mema. Mungu awabariki.!

Tuesday, June 14, 2011

Wednesday, June 8, 2011

HABAAAAAARI !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

WADAU MPO MBONA MMESIZI SANA.. . . ..
POLENI SANA MASHABIKI WOTE MANCHESTER UNITED.... MZEE MWENYEWE MURO POLE KAKA.

Monday, March 7, 2011

SALAM ZA POLE

NAPENDA KUTOA SALAM ZA POLE KWA WASHABIKI WOTE WA TIMU KICHAA YA MANCHESTER UTD KWA KIPIGO CHA AIBU CHA MAGOLI 3-1 NA TIMU KIBONDE WA ARSENAL LIVERPOOL FC
POLENI SANA NDUGU ZETU NAJUA HAMKUA NA CKU NZURI APO JANA
JIANDAENI KWA KIPIGO KINGINE APO JUMAMOSI FA KATI YA MAN U NA ARSENAL