Thursday, July 28, 2011
Wednesday, June 15, 2011
AMKA FABOA!
habari zetu waungwana, bila shaka mu wazima wa afya tele au sio..
baada ya kukaa kipindi kirefu bila ya kufanya kikao chochote, sasa imefikia muda wa kuamka tena na kujua hatma ya kundi letu, hivyo basi tukutane JUMAPILI hii tarehe 19 juni palepale kunch time tutajidiliane nini cha kufanya kuhakikisha kwamba malengo tuliyojiwekea tunayafanikisha kwa mafanikio makubwa.!
nawatakia maisha mema. Mungu awabariki.!
baada ya kukaa kipindi kirefu bila ya kufanya kikao chochote, sasa imefikia muda wa kuamka tena na kujua hatma ya kundi letu, hivyo basi tukutane JUMAPILI hii tarehe 19 juni palepale kunch time tutajidiliane nini cha kufanya kuhakikisha kwamba malengo tuliyojiwekea tunayafanikisha kwa mafanikio makubwa.!
nawatakia maisha mema. Mungu awabariki.!
Tuesday, June 14, 2011
Wednesday, June 8, 2011
HABAAAAAARI !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
WADAU MPO MBONA MMESIZI SANA.. . . ..
POLENI SANA MASHABIKI WOTE MANCHESTER UNITED.... MZEE MWENYEWE MURO POLE KAKA.
POLENI SANA MASHABIKI WOTE MANCHESTER UNITED.... MZEE MWENYEWE MURO POLE KAKA.
Monday, March 7, 2011
SALAM ZA POLE
NAPENDA KUTOA SALAM ZA POLE KWA WASHABIKI WOTE WA TIMU KICHAA YA MANCHESTER UTD KWA KIPIGO CHA AIBU CHA MAGOLI 3-1 NA TIMU KIBONDE WA ARSENAL LIVERPOOL FC
POLENI SANA NDUGU ZETU NAJUA HAMKUA NA CKU NZURI APO JANA
JIANDAENI KWA KIPIGO KINGINE APO JUMAMOSI FA KATI YA MAN U NA ARSENAL
Sunday, March 6, 2011
WALIOUDHULIA KWENYE KIKAO TAREHE 06/03/2011
- STEWART
- RUMISHA
- ERIC
- KABALI
- JOHN
- LACKFORD
- MASAI
- SILVA
- MZEE WA MATELEPHONE(MAN U)
Subscribe to:
Posts (Atom)