Thursday, December 1, 2011

--PAMOJA TUTAKULA MEMA YA NCHI - -




Mambo vp wadau wa FABOA mnaendeleaje na shughuli za kila siku za ujenzi wa taifa letu, ni matumaini yangu hamjambo kabisa na kila kitu kinakwenda vizuri au vp . .ni jambo la furaha sana  huku wengine wakiitwa Baba wengine wameshatangaza nia na wengine wapo kwenye vitengo mbalimbali, thats good, Mungu anatupenda na anaipenda FABOA!

Sasa wadau, mwaka ndio huu unaisha na kwa kipindi chote kuanzia mwaka umeanza FABOA haijafanya jambo lolote la kujivunia kiukweli sijui tumshike nani kengele nadhani hakuna coz kila mtu alikuwa very busy with itz own stuff,. kama tulivyopeana taarifa kuhusu kikao cha jumapili hii tarehe 04 Disemba 2011 mnaombwa mfike bila kukosa ili tuzungumze kwa kina mustakabali mzima wa FABOA yetu kwani we stil have time to remake and rebirth it again, , tafadhali fika bila kukosa kwani kufika kwako ndio mafanikio ya FABOA.

Naomba kuwasilisha. Asante.

Wednesday, August 24, 2011

Samir Nasri: Exclusive interview part one

Samir Nasri: Exclusive interview part one

Nasri huyo Man city, Swali la leo . . hivi Wenger anaitakia mema ARSENAL?????????????????????????????




hello guys,
hope you all doing great out there au vp!, you know what guys life is full of challenge and we cant go smooth without take time to analyse our daily life how we do things, our decision making and so forth.
so i think what is needed to make sure we enjoy every second we get is to always have clear conscious and to live the life that meet our standard rather than to live somebody life. . bare in mind that God create us unique and he love to see we live accordingly to his glory not our own ways.!
thats for now guys,  u can add on yo comment and share yours.

have a wonderful day filled with love, peace and hope. be blessed.!